Free Web Hosting by Netfirms
Web Hosting by Netfirms | Free Domain Names by Netfirms

Search   
My Home Page   |   Biography   |   Photo Gallery   |   Bongo Explosions   |   Contact Me 
Contact Me         Win This Pic                  
  Ndani Ya Bongo !
 
TID AHOJIWA............ 

Anaitwa TID au unaweza Top in Dar kama ukipenda ! bado anaendelea kutesa na kibao Zeze !! embu msikie akilezea kuhusu
 
Afande Sele kidume wa rhythems Bongo

Huwezi kuamini, lakini ndivyo ilivyotokea ni Afande Sele, ambaye usiku wa April 3 katika ukumbi wa Diamond Jubilee aliwaburuza vilivyo wasanii wenzake wakali na wale wanaoheshimika katika muziki wa kizazi kipya katika shindano la Mkali wa Rhymes.Tangu aingie mwanzo msanii huyo alionekana kuwa na dalala za kuchukua 'mchuma' huo aina ya Resa kwani baada ya mamia waliojazana kwenye ukumbi huo walinyanyuka na kumshangilia vilivyo tofauti na wasanii wengine waliokuwa wakiingia. Afande alionekana kupagawa kutokana na mapokezo aliyopewa na mashabiki wake na kwa kuwa alishindwa......
Gonga kujua zaidi
 
   




  Welcome To East Africa Bongo Explosions !
 
Wanakwenda kwa jina la Mandojo na Domokaya ambao wanaokuja kwa kasi katika muziki huu wa kizazi kipya. Albam yao hii inayouwa (Taswira) iko mitaani ikiwa na track kali kama Wanok'nok, Muziki Chacha na Nikupe pamoja na nyingine nyingi bombaaa, wahi duka la karibu upate copy yako sasa.....!
Sitoi albamu hadi Wachuja na Luteni Karama watoke - Nature!
Nyota wa bongofleva kutoka Wilaya ya Temeke, Juma Nature hatatoa albam hivi sasa, hivyo mashabiki wake wasitarajie jambo hilo, kwa
sasa.Akizungumza na Mtandao wa Darhotwire hivi karibuni msanii huyo ambaye jina lake halisi ni, Juma Kassim alisema tayari albam yake mpya
imeshakamilika lakini ameamua kutimiza masharti waliojiwekea katika umoja wao wa Wanaume...
 

Kamata Explosions
Zimeongezwa 11th Dec 04

OCG Feat. Sir Nature - Tulimalize Tatizo

Jay Moe - Kasimama peke yake

Bodea Feat Lady JD - Hunitaki

Baby Boy Feat. Hard Mad - Sina Dem

Raha P - Hayakuhusu

Esther Wassira - Sheila

Dataz - Mume wa mtu

Wahitimu feat. Daz baba - Muulizeni

 

 

Wazo La Leo/Maoni/Tuma Wazo/Maoni 

Big uup Afande Sele kwa kuwaburuza wenzio.....!
Mimi namfagilia sana Afande Sele kwa kuibuka kidume na kuwaburuza vizuri wakali wenzake katika shindano la mkali wa rhymes, heko Afande Mungu akujalie mzee.
Naamini mashairi ya wimbo wako wa Darubini Kali na Mtazamo ni mashairi ambayo ujumbe wake unatisha sana hasa ukisikia kwa makini huo music. Nimegundua kwamba umetumia akili nyingi sana juu ya mashairi yako, ninachoweza kusema ni kwamba afande anatisha sana mbele ya wasanii wenzake wote wa wa kizazi kimpyaaaaa,
Wawaaa waaaa waaaa Afande Sele.!

-MUSSA-Dar es Salaam, Tanzania

 

Kiss FM - Live Nairobi Fresh Hits!!

 

-Mashadam.com

28 People Chatting Now !

 

"Yote Ya Wezekana" The House Of Pain

 

 

 




Search   
My Home Page  |  Biography   |   Photo Gallery    |   Bongo Explosions   |  Contact Me 

ZuberiMohamed.Netfirms @ 2005 - 2020  Privacy Policy  Terms Of Use